HAWA NDIO MAKOCHA WA KOMBE LA DUNIA WANAO LIPWA MISHAHARA MIKUBWA

Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza, Fabio Capello
ndiye anaongoza kwa kulipwa vizuri miongoni mwa makocha wote wa timu za taifa zinazoshiriki Kombe la Dunia mwaka huu nchini Brazil.
Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza, Roy Hodgson analipwa pauni Milioni 3.5 kwa mwaka.

0/Post a Comment/Comments